Lulu azungumzia wasanii kutojali mkutano wa Waziri

Elizabeth Michael 'Lulu'

Msanii wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ametoa neno juu ya wasanii waliokosekana kwenye mkutano wa pamoja wa wasanii wa filamu, muziki na sanaa zingine na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS