Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda (kushoto) na Kamishina msaidizi wa uhamiaji mkoa wa DSM Edmund Mroso.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji nchini, wamezindua mpango wa kutokomeza wahamiaji haramu mkoani humo alioupa jina la ''Pekenyua Tukufukunyue''.