Waziri kuwachukulia hatua wanaotoa mimba hivi

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile, amesema  Serikali itahakikisha inakomesha uuzaji holela wa dawa mbalimbali,  hususani zile zinazotengenezwa kwa ajili ya matumizi mazuri na kugeuzwa kuwa ni za kutolea mimba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS