Lulu Diva afunguka tatizo kubwa la Alikiba, TID
Mkali wa muziki wa Bongo Fleva Lulu Diva 'The Sex Lady', amesema moja ya madhaifu makubwa ya msanii Ali Kiba ni kuwa msanii huyo anashindwa kufiklia mahitaji ya mashabiki zake, kwa kuchelewa kutoa ngoma.