Dereva Teksi aendelea kusota Kesi ya Mo Dewji
Kesi ya Kutekwa kwa Mfanyabiashara Mohammed Dewji 'MO' imepigwa kalenda hadi Septemba 30, itakapofikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, hii ni baada ya upande wa mashtaka kudai kwamba bado unaendelea kuwatafuta watuhumiwa wengine watano, ambao ni raia wa kigeni.

