Droo ya nusu fainali yakamilika, michezo 3 kupigwa

Droo ya nusu fainali ya Sprite Bball Kings 2019

Droo ya hatua ya nusu fainali ya michuano ya Sprite Bball Kings 2019 imefanyika leo katika ofisi za EATV na EA Radio, ambapo vigogo wanne waliofuzu hatua hiyo wamepangwa katika mechi mbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS