Makonda uso kwa uso na Mahiga

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda leo September 03, amemkabidhi Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Augustine Mahiga muswada wa mapendekezo wa marekebisho ya sheria ya mirathi kwa ajili ya kufanyiwa maboresho na kuwasilishwa bungeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS