Magufuli amtumbua DC na DED

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro Majura Mateko Kasika, na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Mussa Elias Mnyeti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS