Askofu Gwajima aungana na RC Makonda

RC Makonda na Askofu Gwajima

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima, ameunga mkono  kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, iliyowaomba viongozi wa dini kwenda kutoa mahubiri nyakati za usiku katika kumbi mbalimbali za starehe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS