Prof Jay aeleza kuhusu msiba mweka hazina Mikumi

Mbunge wa Mikumi Joseph Haule na Marehemu Tishi Charles ambaye alikuwa mweka hazina wa BAWACHA Mikumi.

Jimbo la Mikumi kupitia Mbunge Joseph Haule maarufu kama Prof Jay imethibitisha kufariki kwa Mweka Hazina wao wa Baraza La Wanawake wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Tishi Charles ambaye amefariki leo Septemba 7, 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS