Master J aeleza mengi kuhusu kuwafukuza wasanii

Master J

Producer mkongwe Master J amepiga stori na EATV & EA Radio Digital, ambapo amefunguka mambo mengi ikiwemo tetesi za kuwaringia na kuwafukuza wasanii kipindi anafanya kazi za utayarishaji wa muziki kwenye studio zake za MJ Records.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS