Simba yatangaza CEO kutoka Afrika Kusini Mtendaji Mkuu mpya wa Simba Senzo Masingizi Klabu ya soka ya Simba imetangaza rasmi kupata Mtendaji Mkuu mpya, Senzo Masingizi, ambaye ni raia wa Afrika Kusini, akichukua nafasi ya Crescentius Magori. Read more about Simba yatangaza CEO kutoka Afrika Kusini