Aussems kuhusu majeraha ya Kagere, kuwakosa Kagera

Kocha Patrick Aussems na Meddie Kagere

Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara kati ya Kagera Sugar na Simba mjini Bukoba, kocha wa klabu hiyo, Patrick Aussems amesema kuwa atampumzisha mshambuliaji wake tegemeo, Meddie Kagere katika mchezo huo kutokana na kuumia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS