Madhara ya kuharibika kwa Tabaka la Ozoni hatari

Mdano wa mionzi inayoweza kuharibi Tabaka la Ozoni

Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Faraja Ngerageza, amesema kuwa matokeo ya kuharibika kwa Tabaka la Ozoni ni kuruhusu mionzi zaidi ya urujuani (UV-B) kufikia uso wa ardhi hivyo kutishia afya ya viumbe hai katika ikolojia mbalimbali. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS