"Tanzania ina matajiri na wanaotoa" - Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema kuwa pesa ambazo huwa anaonekana akizigawa ni pesa ambazo anazipata kwa wadau na marafiki zake wa karibu ambao wako tayari kumuunga mkono katika masuala ya maendeleo.

