Mtoto aliyepotea kwa siku 31, amtaja mjomba

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa ambapo picha ya kulia akiwa amemshika mtoto baada ya kupatikana.

Mtoto Neema Nurdin (8) mkazi wa Kijiji cha Msijute Wilayani Mtwara, aliyedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa siku 31 na kurejeshwa nyumbani kwao Septemba 18, amemtaja mtu aliyemrudisha kuwa ni mjomba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS