Polisi yazungumzia fujo za klabu za soka, Mwanza Kamanda Jumanne Murilo Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Jumanne Murilo amezungumzia juu ya fujo zilizotokea leo katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza baina ya Kagera Sugar na mashabiki wa timu ya Alliance. Read more about Polisi yazungumzia fujo za klabu za soka, Mwanza