Mbunge Mtaturu atengewa bilioni 2

Serikali kupitia Wizara ya Maji imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 2 kwa ajili ya kutatua kero ya maji katika jimbo la Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu, baada ya Rais Magufuli kuagiza changamoto hiyo ishughulikiwe mapema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS