Watu wenye ulemavu, S/Mtaa watupiana mpira
Watu wenye ulemavu wanaoishi maeneo ya Mzimuni, Kawe Jijini Dar es Salaam wameilalamikia serikali ya mtaa huo kuwaandikisha majina kwa ajili ya kupata msaada wa vitendea kazi na usafiri wa bajaji ili kujikwamua kibiashara lakini wanaishia kudanganywa.

