Uhamiaji yawaonya wenye vyeti feki vya kuzaliwa
Idara ya uhamiaji nchini imetoa onyo kwa raia wasio Watanzania ambao wanaishi hapa nchini kwa kutumia vyeti feki vya kuzaliwa, na kuwa wakibainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani.

