Amuuwa mwenzake kisa alinyimwa supu ya kuku
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara, imemuhukumu adhabu ya kifo mkazi wa Kata ya Chikonji, Manispaa ya Lindi, Mohamedi Hassani Omari (45), baada ya kukutwa na hatia ya mauwaji ya kukusudia dhidi ya Andrew Ndemba (Mtanzania) kisa alimnyima supu ya kuku.

