'Mo' atembelea uwanja wa Bunju, atoa ahadi mpya Mo Dewji akiwa katika ukaguzi wa uwanja Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji ametembelea uwanja mpya wa mazoezi wa klabu hiyo unaojengwa eneo la Bunju Jijini Dar es Salaam. Read more about 'Mo' atembelea uwanja wa Bunju, atoa ahadi mpya