Basilla Mwanukuzi awajibu wanaoponda Miss Tanzania
Muandaaji wa mashindano ya ulimbwende ya Miss Tanzania, Basilla Mwanukuzi amesema kuwa hajawahi kukutana na malalamiko yoyote katika mitandao ya kijamii yanayomlalamikia kuwa ni mtu asiyekubali kupokea ushauri.

