Kamanda aeleza, jambazi wa muda mrefu alivyouawa Bastola Mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni jambazi, ameuawa kwa kupigwa risasi katika majibizano ya risasi na Jeshi la Polisi, tukio lililotokea majira ya saa 7:30 mchana eneo la Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. Read more about Kamanda aeleza, jambazi wa muda mrefu alivyouawa