Samatta aeleza alivyoguswa na msiba wa Kamwanya
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya TP Mazembe ambaye kwasasa anakipiga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji huku pia akiwa nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ametoa salamu za pole kwa timu ya TP Mazembe kufuatia kifo cha Makamu wa Rais.

