Makonda ajipa cheo kipya ili kukamilisha miradi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amejipa cheo kipya cha umeneja wa miradi wa mkoa huo, baada ya kukuta mradi wa ujenzi wa mto Ng'ombe wilayani Kinondoni kusimama, licha ya viongozi wa wilaya hiyo kumdanganya kuwa Mkandarasi yupo 'Site'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS