Kimbunga cha Arusha mmoja adaiwa kuzama Ziwani
Mtu mmoja amezama na mtumbwi katika Ziwa Momella, lililopo katika mbuga ya Arusha, baada ya mtumbwi aliokuwa nao kupigwa na dhoruba, iliyosababishwa na kimbunga kikubwa kilichozua taharuki kwa wakazi wa mkoa huo siku ya jana.

