Wachezaji wanne waishtaki Yanga, hatua zachukuliwa Kikosi cha Yanga wakiwepo baadhi ya wachezaji wanaoidai klabu hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Wanasoka Tanzania (SPUTANZA), Musa Kisoky, amethibitisha kupokea malalamiko ya wachezaji wanne wa Yanga, ambao wanaidai klabu hiyo. Read more about Wachezaji wanne waishtaki Yanga, hatua zachukuliwa