''Kuna njama ovu, Tanzania haina Ebola'' - Ummy

Waziri Ummy

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na watoto Ummy Mwalimu, amewataka watanzania kuzipuuzia taarifa za uongo, zinazoenezwa katika mitandao ya kijamii kwa madai ya kwamba Tanzania imekuwa ikificha taarifa za uwepo wa ugonjwa wa Ebola hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS