Moni na Nai watangaza kuijaza Dunia

Moni na mpenzi wake Nai

Mwanamziki wa Hiphop Moni Centrozone na mpenzi wake Official Nai, wamesema kuwa endapo Mungu akiwajaalia, wanatamani kuwa na idadi ya watoto wengi ili na wao waweze kuijaza Dunia na kwamba idadi ya watoto wanaowahitaji, haitawasumbua katika kuwahudumia kwasababu wamejipanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS