Kampeni ya Namthamini yaleta faraja Mbeya

Baadhi ya wanafunzi na walimu mkoani Mbeya

Kampeni ya Namthamini,  inayoratibiwa na East Africa Television na East Africa Radio yenye lengo la kumuwezesha mtoto wa kike asikose masomo shuleni akiwa katika hedhi, imeendelea kutoa msaada wa taulo za kike (Pedi) kwa shule mbalimbali  nchini ambapo awamu hii imefika Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS