Jux na Wolper wanogesha tamasha la mavazi Tanzania

Juma Jux akiperforme kwenye tamasha hilo

Wikiendi iliyopita kulifanyika maonyesho ya pili ya mavazi "Tanzania Fashion Festival" ambayo hukutanisha watanamindo na wabunifu wa mavazi kuonyesha bidhaa zao, ambapo safari hii lilihudhuriwa na mastaa kama Jux na Jacqueline Wolper.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS