Jux na Wolper wanogesha tamasha la mavazi Tanzania
Wikiendi iliyopita kulifanyika maonyesho ya pili ya mavazi "Tanzania Fashion Festival" ambayo hukutanisha watanamindo na wabunifu wa mavazi kuonyesha bidhaa zao, ambapo safari hii lilihudhuriwa na mastaa kama Jux na Jacqueline Wolper.

