Aliyeifunga Hattrick Yanga apewa shavu Ditram Nchimbi Mshambuliaji Ditram Nchimbi wa klabu ya Polisi Tanzania ameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kukamilisha wachezaji 29, kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rwanda. Read more about Aliyeifunga Hattrick Yanga apewa shavu