'Sijakutana kimwili tangu nizaliwe' - Dorah
Muigizaji wa Tamthilia hapa nchini anayejulikana kwa jina la Dorah, amesema kuwa kwasasa yuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume anayefahamika kwa jina la Edson, na wamedumu kwa muda wa miaka 5, lakini hawajawahi kukutana kimwili.

