Waziri Mkuu atua Itigi, ataka Mil 1.6 zirudishwe
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametoa siku tatu kwa Kaimu Mweka Hazina wa wilaya ya Itigi mkoani Singida, Optatus Likiliwike, kuhakikisha anarejesha kiasi cha Shilingi Milioni 1.6, fedha ambazo alijilipa kama posho kinyume cha utaratibu.

