Msanii Madee akiwa kwenye uwanja wa Don Bosco ilipopigwa game 1 ya fainali za Sprite Bball Kings
Katika vitu ambavyo vilikuwa vya kusisimu katika fainali ya kwanza ni namna mastaa, Baraka Sadick wa Mchenga na Baraka Mopele wa Tamaduni, walivyochuana kuzipambania timu zao.