Watatu wa Kimataifa kuikosa Yanga leo

Baadhi ya wachezaji wa kigeni wa Yanga

Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara VPL kati ya Yanga na Coastal Union leo, jumla ya wachezaji watatu wa Kimataifa wa Yanga watakosekana leo kwenye mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS