Watatu wa Kimataifa kuikosa Yanga leo Baadhi ya wachezaji wa kigeni wa Yanga Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara VPL kati ya Yanga na Coastal Union leo, jumla ya wachezaji watatu wa Kimataifa wa Yanga watakosekana leo kwenye mchezo huo. Read more about Watatu wa Kimataifa kuikosa Yanga leo