ATCL yasitisha safari za Afrika Kusini

Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), imesitisha safari za ndege zake zinazofanya safari kuelekea Afrika Kusini, kuanzia kesho Oktoba 7 na kuagiza abiria wote waliokuwa wamekata tiketi kurudishiwa nauli zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS