Jela miaka 3, adai alifanya kosa sababu ya njaa

Mahakama ya Wilaya ya Lindi, mkoani Mtwara, imemuhukumu mkazi wa Mitema aliyefahamika kwa jina la Kijazi Ally (29), kifungo cha miezi 36 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa mawili, likiwemo la kuvunja nyumba usiku na kuiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS