Waziri Mkuu awakabidhi TAKUKURU watumishi 48

Waziri Mkuu alipokuwa Ndago Iramba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Singida kuwachunguza watumishi 48 wa Halmashauri ya Iramba kwa tuhuma za upotevu wa fedha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS