Mr Blue adai kuna wasanii hawana nidhamu
Rapa Mr Blue kupitia mahojiano aliyofanya na EATV & EA Radio Digital, ameeleza kuwa vijana ambao wapo kupitia kundi la “B.O.B Micharazo” wamekuwa wakimkosea heshima kutokana na kauli ambazo wanazitoa kwenye vyombo vya habari.

