Mr Blue adai kuna wasanii hawana nidhamu

Rapa Mr Blue kupitia mahojiano aliyofanya na EATV & EA Radio Digital, ameeleza kuwa vijana ambao wapo kupitia kundi la “B.O.B Micharazo” wamekuwa wakimkosea heshima kutokana na kauli ambazo wanazitoa kwenye vyombo vya habari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS