IGP Mstaafu auchambua mchezo wa Taifa Stars

Wachezaji wa Taifa Stars wakifanya mazoezi

Balozi wa Tanzania nchini Rwanda IGP Mstaafu Balozi Ernest Jumbe Mangu, ameeleza umuhimu wa mchezo wa kirafiki kati ya Tanzania dhidi ya Rwanda utakaopigwa Oktoba 14, 2019, ambapo amewataka wachezaji kucheza kama mechi ya mashindano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS