'Najua watanzania hamtanishangaa' - Rais Magufuli

Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, amesema kuwa hatasita kuwachukulia hatua viongozi wa mikoa na wilaya ambao watashindwa kuwahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la kupigia kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS