Jinsi daraja Tanga lilivyowakwamisha wananchi

Daraja la Mto Mnyuzi lililopo Kijiji cha Jitengeni, Kata ya Segera lililopo katikati ya mpaka wa Wilaya ya Korogwe na Handeni mkoani Tanga limekatika kufuatia mvua zilizonesha mfululizo na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya abiria wanaotoka Arusha kwenda Tanga na Arusha kwenda

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS