Makonda aagiza kufunga maduka kumuenzi Nyerere
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho maduka yote katika jiji la Dar es salaam yatafunguliwa kuanzia saa 5 asubuhi ili kupisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpifa kura kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kuenzi miaka 20 ya kifo cha

