Kutoka Sudan, Nyoni atoa siri ya kikosi cha Stars

Wa pili kutoka kulia ni Erasto Nyoni alipokuwa nahodha wa Taifa Stars kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Rwanda.

Mlinzi wa kati wa Taifa Stars Erasto Nyoni, ameweka wazi kuwa kikosi chote cha taifa stars kiko salama nchini Sudan na kinajiandaa kuivaa Sudan siku ya Ijumaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS