Upepo wa kisulisuli watua BAKITA

Mchungaji wa Kanisa la mlima wa moto Gertrude Rwakatare

Baada ya uwepo wa baadhi ya Video fupi, zinazotembea kwenye mitandao ya kijamii, zikimuonesha Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Mama Getrude Lwakatare, kuhusu upepo wa kisulisuli, Baraza la Kiswahili la Tanzania (BAKITA), limesema maana ya neno hilo ni upepo mkubwa unatokea ghafla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS