Upepo wa kisulisuli watua BAKITA
Baada ya uwepo wa baadhi ya Video fupi, zinazotembea kwenye mitandao ya kijamii, zikimuonesha Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Mama Getrude Lwakatare, kuhusu upepo wa kisulisuli, Baraza la Kiswahili la Tanzania (BAKITA), limesema maana ya neno hilo ni upepo mkubwa unatokea ghafla.

