Jamaa apiga pesa kisa kujifananisha na Mo Salah
Unapoambiwa binadamu wapo wawili wawili, usishanagae maana hii imetokea huko Kaskazini mwa bara la Africa nchini Misri, kuna jamaa anaitwa Ahmed Bahaa ambaye amefanana sawa sawa na mchezaji wa Taifa hilo na klabu ya Liverpool, Mohammed Salah.
