'Bata la Young Dee limetukomesha' - Country Boy

Msanii Young Dee

Rapa Country Boy, amesema bata na starehe alizokula Young Dee nchini Marekani, limeshaisha na amekiri amewakomesha wasanii wenziye kwa vitu alivyokuwa anafanya kipindi yupo nchini humo kwa kutumia picha ambazo alikuwa anaweka katika mtandao wa Instagram.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS