'Ukiwa kiongozi utachafuliwa' - Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewataka vciongozi aliowaapisha leo Ikulu kuwa wavumilivu na wasihofie kuchafuliwa na watu, bali wajikite zaidi kwenye kutekeleza wajibu wao kama watumishi wa Umma.

.jpeg?itok=7ilFweGQ)