Paul Makonda awashangaa wanaozushia wenzao vifo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ameeleza kushangazwa na baadhi ya watanzania kuwa wafuasia wa baadhi ya watu ambao, wamekuwa wakisambaza taarifa zisizo na ukweli kwa nia ovu huku wengine wakieendelea kusifiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS